Idara ya polisi mjini Nakuru imetiwa lawamani na familia ya mtu mmoja aliyefariki punde alipoachiliwa na kufikishwa hospitalini na maafisa wa polisi kwa matibabu. Mtu huyo alikuwa amezuiliwa na polisi kwa kukiuka kuvalia maski alipokuwa katika shughuli zake mapema mwezi huu. Upasuaji wa maiti umeonyesha kuwa Peter Kamau alikuwa na jeraha lililosababishwa na silaha butu.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 99
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Familia moja Nakuru yalilia haki baada ya jamaa yao kufariki punde baada ya kuachiliwa na polisi: