Hivi karibuni Mshereheshaji na motivational/inspirational speaker nchini, MC Luvanda alishinda tuzo za East African Fashion Awards kipengele cha Most Stylish male host of the year. Ametutembelea kuzungumzia ushindi huo pamoja na kufafanua baadhi ya makosa wanaume huyafanya kwenye uvaaji wa nguo mbalimbali