Mei 21 ni Siku ya Tamaduni na tofauti Duniani.
“Utamaduni ni maua ya mwanadamu - matunda ya akili zetu, zao la mila zetu, kielelezo cha shauku zetu. Utofauti wake ni wa kushangaza, sehemu ya utepe tajiri wa ustaarabu.” @antonioguterres
#UNTZ
#unicdaressalaam
#culturaldiversity