@swidathswaleh9442منذ 3 سنواتTushriki tendo mara ngp kwny sku za htr 6
@
@lailatjuma6562العام الماضيMm naomb kuulza ukishirik mfno kama leo asubuh yake ujahisi maumiv upande kushot mfno wa kichomi inakuaje 2
@
@mustaphaamiri7849قبل 4 أشهرAta mimi nikimaliza kufanya mapenz mbegu zinatoka nyingi 1
@
@mwanakhamissaid716منذ 2 سنواتMm nko n mimba ya 7wks n nahis kiungulia na matiti yamevimba n mate kujaa mdomon cjihis vizuri yaani naskia kuchoka mwili mzito shida nn 1
@
@mwanaidiwalii1319منذ 2 سنواتMm nimeingia period tareh 8/2/2021 then nikafanyaaa tend la ndoa tarehe 28/2 je nauwezekan wa kupataaa mimba@
@
@esthergaspar2824قبل 5 أشهرhello doctor me nilingia p tarh 31 nimend siku tan sk y sab nikashilik tend nitakuw sw
@
@user-oo4hb6lv8mقبل 4 أشهرDoctor mm naingia priodi 6, 7, 8,je nilkifanya mapenzi siku ya tatu naweza kupata mimba
@
@dorahmassawe2235منذ 3 سنواتKama unaenda siku saba adi siku nane uwo nimzunguko utakuwa wasiku ngapi 7
@
@user-sh3ps2ug7dقبل 10 أشهرMm naingia tarehe 28 je tareh za kubeba mimba nizip
@
@lucymwaipungu8931العام الماضيdoktya mimi nimeanza skuzaku zaheth leo tale 2/3 skuzangu zahatyali nizipi
@
@BhokeKambarageقبل 4 أشهرHivi ni kwann ukishiriki kwenye tendon la ndoa unakaa ndani ya dakika 2 hivi hizo mbegu za kiume zinatoka nje na Huwa ni nyepesi sana
@
@philomenajames3266منذ 3 سنواتSante kwa somo hili lkn kuna wengine tarehe zao ni za kuyumbayumba
@
@JuliaNsanze-un8ysقبل 5 أشهرMimi tarehe zangu haziereweki naingea p siku 5 naweka siku 5 Tena zinakua kumi harafu naweka siku 8 zahatari sijawahi kupata mimba huu ni mwaka wanane sijawahipata mimba
@
@adozabron9683منذ 3 سنواتUkishiriki tendo la ndoa ukiwa siku ya kumaliza siku zako mtu anaweza kupata mimba 3
@
@humphreyisaya6003منذ 3 سنواتJaman kabla mwanamke hajahaza kutokwa na damu sikutatu mbele alafu akahaza kutokwa na hedh hapo anaweza akawa na mimba 6
@
@marymhinda8432منذ 2 سنواتNa wenye mznguko wa siku 38 siku ya hatari ni ip??
@
@rosebonny9700منذ 2 سنواتJmn mm nimeanza kuona siku zangu tare 4 na tano na sita nikamaliza siku tatu tu na kaa sikungapi ndo nibebe mimba maana sijakutanane mpaka sasa
@
@juniojackson1406منذ 2 سنواتnimeanza 26 nmemaliza period tare 31 sikuzang za hatati zip
@
@leahzabron-1450العام الماضيMambow, mm na swali siku ya hatar unatakiwa KUFANYA mara ngp ndo mimba iingie
@
@wemazai8358منذ 2 سنواتHz sik unahesabu vip kwamb mzunguko ulivyo
@
@yusrakhamis6758منذ 2 سنواتJe unaanz kuhisabu sikuyakutok hedhi au kuingia
@
@rassoosidi7388قبل 9 أشهرMimi nilisex jana n MTU wangu je naez pata ujauzito juu nilinyesha 29 mpka date 5 n sikuonana n yy mpka jana je naeza pata ujauzito bt nilikunywa p2 1
@
@anastasiabenjamin2473قبل 10 أشهرNaomba kuhuliza Kama mwanamke hukiwa humeshika mimba alafu hukashiliki mapenzi na mwanaume hambae mbegu zake niafifu he mimba hinaweza kutoka
@
@user-dw7ou2ir9zقبل 4 أشهرKama akiingia siku tatu inamaana siku ya hatali utaanza kuhesabu siku ya nne au
@
@neemandoghwe8875منذ 2 سنواتnimemaliza period tarehe 18 nikaja kusex tarehe 8 je naweza kupata mimba
@
@mwajumamustapha3436منذ 2 سنواتSamahan mm nime kutan na mr siku za hatal hala baad ya wiki mbil nilikua nikion dalili zamimb halaf napiam najikut sin
@
@eliangalla8902منذ 2 سنواتTarehe9-hadi11siku gani au tarehe ipi in hatali yaani kuna uwezekano wa kupata ujauzito?
@
@marymercimutua9502منذ 3 سنواتNa period ikija like 4 day's,then iruke 2 days, ikuje tena like 1 day or 2 days,iyo uwa mtu ako kwa hatari?
@
@najmavuai7428منذ 2 سنواتHizi sik za kurud rudi nyuma inakuwanje
@
@gracekibena1638منذ 2 سنواتKuna wengine wanasema siku za hatar ni sik tano kabla ya damu na siku tano baadae ya damu, ni kweli doctor 9
@
@eliangalla8902منذ 2 سنواتTarehe 9 hadi 11 ndo anaenda mwezinii siku hatari ni ipi ambayo anaweza kupata ujauzito
@
@martharhobi4563قبل 9 أشهرmm ninaona siku za talehe 21 ninaomba nijuwe siku ya kushika mimba
@
@rehemaseleman-gb7rgالعام الماضيDocter mie niliingia kwenye hedhi tarh 8 .siku zahatar nikasexy siku ya 18,19,20,23,je nitakua Niko sawa? Sijakosea? 6
@
@janethdonart584منذ 2 سنواتNataka kuuliza mm nikmalzaga kufanya tendo znapta kama dk2 unaona shahawa znatoka nying2 kwann nahpo naweza kupata ujauzto 10
@
@emmyclaud7741منذ 2 سنواتNimeingia period tar 26/01/ had tar 29/01/ afu huu mwez unaixhia 31 pia nkashiriki tendo LA ndoa 03/02/ naweza kupata mimba 1
@
@huqmannchimbi5296منذ 3 سنواتkama mwanamke mwenye? siku 37 inakuwaje
@
@sakinamasudi9023منذ 3 سنواتSamahani doctor mikila ikifika tarehe 15 lazima niingie kwenye siku zangu naninafanya kama unavyo elekeza ila sijapata mimba naomba unisaidie 1
@
@PauloFrank-kj6xqقبل 11 أشهرJe nikilala nayetarehe 6 mpaka 10 arafu tarehe 11 anaweza kupata ujauzito 1
@
@sultanbadran2522منذ 2 سنواتukitoka siku ya periad ambazo mwanamke anaingia siku 4 siku ngapi mbeleni ukiingia tendo la ndoa zinakua ni salama? 3
@
@dinnahjumanne200منذ 2 سنواتNaomba kuuĺza siku ya kumi siwezi pata ujauzito
@
@omaribenjamin-965العام الماضيHizi Tareh 26 mpaka 30 hapo siku ya hatal n siku gan
@
@shamsachuga3681منذ 2 سنواتJe kwamfano nikifanya mapenzi wakati nimetoka tu kwenye mzunguko tabeba mimba 2
@
@agneskivike9582منذ 3 سنواتHizo siku 2 ambazo unatakiwa kuzitoa kabla ya siku za hatari ni ipi na ipi 2
@
@mapenzimumbere5946منذ 3 سنواتTushiriki tendo maragapi Siku yahatari ili mimba udaki 4
@
@everlyneiminza5722منذ 3 سنوات35 kwani kuna mwezi unaopitiliza adi 37 2
@
@amediuskipera4833منذ 4 سنواتSomo muhimu sana kwa wanandoa! Kwa makala mbalimbali za mambo yenye mafunzo na ya kusisimua, bonyeza chaneli hii ya Dunia Duara. Thank me later! 8
@
@happymangia7676منذ 2 سنواتMIMI NIMEONA PERIOD TAREHE 13 MWEZI WA 8 NKAMALIZ TAREH 16 NKALALA NA MWANAUME TAREH 3 NA 4 JE NAWEZA KUPATA MIMBA
@
@hamissinyambereالعام الماضيNa mimi tare zang kuw zinabadirik san nafany
@
@RehemaJuma-lx2qoقبل 9 أشهرNmetoka hedhi halafu nkafanya mapenzi siku ya 8 je naweza pata ujauzito
@
@takyatupu6839منذ 3 سنواتHello doctor mimi nimepata damu tarehe 22 mpaka tarehe 27 nikafanya sex tarehe 3 mpaka tarehe 5 hp ikoje nasubiri damu yangu tarehe 15 lakini nakojoa sana maziwa yameja kwa mbali vp hp ikoje doctor
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Siku hatari za mwanamke kushika mimba:
Kwa makala mbalimbali za mambo yenye mafunzo na ya kusisimua, bonyeza chaneli hii ya Dunia Duara. Thank me later! 8