@bonpaul73082 years agoNakukubali sana Millard, bro u are so encouraging and inspiring
@
@fredyjhosephkapesula72672 years agoWoooow nimeyapenda Sana mahijiono yenu endeleeni kuwapa ushauri na kuwatiamoyo vijana wenzenu mbalikiwe Sana
@
@theodolaselestine65704 years agoMUNGU akubariki sana kaka milladi, Wengi vijana tunapitia changamoto sana za mitaji ,
@
@JosephNkina-zq5zu11 months agoSina mengi ila tu Millard ayo kanifunza kitu kizuri abarikiwe mungu ampe maisha malefu inshallah tutafika mbali kikubwa tusikate tamaa
@
@zesootv67265 years agoNzuri sana kaka millard Kila ki2 ni jitihada. 1
@
@lilianmoses15 years ago@millardayo is my best imformer in world ni mtu nnayemkubali sanaaa
@
@felistaedward18852 years agoMost ya vjana wengi Wana uwezo mkubwa mitaani wanahtaji saport
@
@rosemarysulle92883 years agoKati ya watangazaji wote tz,napenda sana Millard anajielewa sana huyu kaka.
@
@unicimpagadhi38365 years agoKumbe kuna shida alafu kuna shida kabisa ,tutakoma 1
@
@mlokaferdinand4 years agoDaaah...me nimeisikia Leo aisee...yani ukisema nichambue hapo nimeelewa nn ntakua nakosea tu....kila kitu alichoongea milady ni point....hiyo kitu ya kutolewa kwenye mtihani had machozi yamenilenga.....bado tunapambana na mitaji hatuna kweli japo fursa nazionaa ...
@
@monistella63014 years agoJamani mama alipigania maisha yako Millard usimsahau ama kweli mama ni mama!!!
@
@mangalajr14764 years agoAlichozungumza Millard ni kweli na nimfano wa kuigwa kwa kalia zote ,si kijana tu hata watu wazima.
@
@afonsokamuth91534 years agoNatazama kutoka Mozambique Da ni kijana wa mfano sana nina talent ya uimbaji lakini nashindwa kupata nafasi
@
@goodluckpatrice50052 years agoGood interview but tunaomba ututafutie interview nyingine kam za huy entrepreneur
@
@alfredidabaligasomola59964 years agonampenda bure Millard uyu, hana kibur wala kujikweza, msiri
@
@donmvunjambavu34532 years agoAlichopotea za Millard Ayo Yuko right tupambane ili tufanikiwe
@
@jmmusicmedia46005 years agoNamkubari sana bro Millard yeye ndo kanifanya niwe blogger na kuarrange my big project for my life nakumbuka interview yake moja na Mkasi he said "Kuwekeza sio pesa tu hata mda unahitajika katika kile unachokifanya". Interview iko poa but ingekua poa zaidi kama ungekua unge kuwa na maswali ya tofauti kama 10 ivi na mafupi , millard yuko bze sana kiasi sio mtu wa interview sana so watu wanahitaji kujua mambo mengi sana kutoka kwake. Thank You Celeb Africa me @jmmusictz@ ...3
@
@eliezerydaniel936710 months agoNimejifunza kitu pekee, kuwa kujituma kunalipa
@
@DALAapplication2 years agokijana asiye na makuu kwenye watu marufuu tanzaniA
@
@ramadhaniseif55655 years agoAlafu mtu anakuja anasema hovo juu ya mtu fulani bila kumfahamu huo ujinga
مقاطع الفيديو ذات الصلة على SIRI YA MAISHA YA MILLARD AYO YAFICHUKA:
Wengi vijana tunapitia changamoto sana za mitaji ,
Interview iko poa but ingekua poa zaidi kama ungekua unge kuwa na maswali ya tofauti kama 10 ivi na mafupi , millard yuko bze sana kiasi sio mtu wa interview sana so watu wanahitaji kujua mambo mengi sana kutoka kwake.
Thank You Celeb Africa
me
@jmmusictz@ ... 3