@dianamahendekamahendeka1344منذ 3 سنواتHappy analia Bora amekufa tumebaki tunakula Bata raha imerudi endeleeni mungu ana waona 2
@
@deusdebitkowa9657منذ 3 سنواتKwa kweli,maisha ya Magu na hata kifo chake vinawatafuna sana hawa jamaa. Mwenye haki,haki husimama naye daima hata baada ya kifo chake. 14
@
@deusdebitkowa9657منذ 3 سنواتNgeleja na Membe wapo wapi Nape? Au uliwasahau. Kumbukeni hatujawasahau. Very intersting,mmeamua kujionesha waziwazi sasa. Haya,tunawafuatilia kwa ukaribu sana. 4
@
@onesmolwambano9349منذ 3 سنواتHivi babu yangu walioba anashati moja tu 2
@
@bakermusa9033منذ 3 سنواتSadly expect more gathering like this for some reasons 5
@
@sheshem5453منذ 3 سنواتMwenyezi Mungu ampumzishe kwa Amani Mzee Nnauye. 1
@
@queenkileo3698منذ 3 سنواتThis gathering is interesting! Kinana.Makamba.Nape.Mzee Makamba. Does that ring bells? Only Membe is out 9
@
@teddyoscar6876منذ 3 سنواتLeo ndio wanasheherekea kifo cha Magufuli hawana lolote cheki walivyokunja nne mmh 7
@
@gracekaboigora189منذ 3 سنواتKwa sasa waliopo ni after pesa,ni maheitiemu tena bank zote 2
@
@sokoinekagali9759منذ 2 سنواتNyie kila siku mnajisifia tu hicho kidogo ulitetendea taifa Mungu sijui alijuaje akamfanya nyerere kukomboa taifa hili angelikuwa miongoni mwenu au baba id="hidden3" class="buttons"> zanu hakika leo watanzania tungepata shida na taabu sanaa kama kitabu cha Ayubu 14:1-3 kila kitu kina mwanzo na mwisho wakati ni ukuta. ....وسعت
@
@jongwemomumo8729منذ 3 سنواتMnajipanga ,Nape siku zoteeee hajawahi kuandaa event kama hii kuna walakini 6
@
@davejoe5949منذ 3 سنواتcrocodile teas Moses is just your Dad has been in the Army. Remember Mayunga and many died. Many soldiers need help right now. 2
@
@sokoinekagali9759منذ 2 سنواتNi kweli kabisa kuna kamchango mulikochangia kwenye taifa hini nyinyi ni miongni lkn mlikuwa mnalipwa mushahara lkn kwann hako kamchango mnakaweka mbele id="hidden4" class="buttons"> sana watumishi wenzenu mnawaweka nyuma sana Sisi watanzania tunamshukuru Mungu sana Kumchagua nyerere ndiyo akaleta uhuru angekuwa ni miongoni mwenu au baba zenu watanzania tungepata taabu na shida sanaaa lkn tunasema asente baba kunusuru hili. ....وسعت
@
@mtumishimathias7762منذ 3 سنواتNaona mmeanza kujiweka kweupe ,hawa ndio wenyewe sasa G 7 of The state. 2
@
@saidalsalmi9313منذ 3 سنواتSafii sana, CCM iko vizuri, watu wasio julikana hakuna tena. 1
@
@abdallahhaji3793منذ 3 سنواتSasa nape Kama unamshukuru nyerere kwa dhati na unamkumbuka ,basi usipinge ndoto zake za bwawa la nyerere hata kidogo maana ni kwa manufaa ya Tanzania. 2
@
@bakermusa9033منذ 3 سنواتUkweli mchungu Makamba ndo kiungo kinachomtambulisha Mama na hili Genge zitto .sad 7
@
@ameedamilja7992منذ 3 سنواتAwamu ya 4 hiiii tupu imekutana acha wacheke tu kukumbukia Enzii zao za Twiga kupanda ndege kwenda nje. Ila wimbo umeleta hisia sana sijui jamaa kakumbuka nini 3
@
@kefamwakipesile275منذ 3 سنواتNeno mheshimiwa nini? na nina na mwenye sifa gani apewe heshima ya kuitwa mweshumiwa? 2
@
@amosimwambembela4989منذ 3 سنواتHivi hii kumbukumbu imewahi fanyika hata mara nyingine huko nyuma?
@
@gracekaboigora189منذ 3 سنواتTungepata watu kama hao kumi nchi.ingeendelea 2
@
@richardmziba55منذ 2 سنواتMche wa "Mpingo" umeoteshwa hapo. Tusubiri muda si mrefu wakati utaongea.
@
@saidimwishehekienda933منذ 3 سنواتHuyu bwege anayenong'ona[Kuongea kwa sauti ya kujificha] ndio fundi mitambo??hahahahaha anazingua kweli 1
@
@ashrona9884منذ 3 سنواتIla fannyen yote ila mungu yupo mshakupatiana mafisadi laaana ya mungu itakutafuneni 2
@victorishengoma4599منذ 3 سنواتMbona JK hakumkumbuka swaiba wake Nauye Ila wakampresurize JPM amkumbuke?
@
@jofreymanfred6560منذ 3 سنواتWenye nchi hao sio nyie wapiga kelele wa chatu sasa ni raha tu, 1
@
@billgussy6099منذ 3 سنواتMnao tukana acheni kutukana basi kila zama na zama zake, Hawa ndo wanajua siasa hawana makasiriko 4
@
@zesootv6726منذ 3 سنواتWenye nchi hao siyo wapga kelele kama sisi ambao baba zetu ni kajamba nan 1
@
@saidipara4134منذ 3 سنواتDahhhh yani kila nikiandika comment na futa .dahhh
@
@jumamnumbwa9483منذ 2 سنواتBrIgadia Moses nnauye alikuwa mjamaa haswaaa Ajabu watoto wafuasi wa ubepari
@
@kingbuddah6372منذ 3 سنواتNa NDIO MAANA NAPE BABA YAKO KANYONGWA KWA SABABU YA MABAYA ALIKUA AKITENDA
@
@istambuliahmedi8203منذ 3 سنواتMtu akishakufa Mambo yake yota Yana katika isipokua Mambo matatu sadaka yenye kuendelea au ELIMU ambayo watu Wana nufaika kwa elimu hiyo au mtoto mwema id="hidden7" class="buttons"> ambae Ana mkumbuka mzaziwake kwa kumuombea Dua kwa hayo matatu aliekufu ataendelea kulipwa na MUNGU na kunufaika nayo namuomba MUNGU atuzindue kuyajua hayo ....وسعت
@
@sadickbudoda4361منذ 3 سنواتHakim ni mwenyezimungu, kuna cku atawatia nguvun watu flan na c rahic kama moja jumrisha moja 2
@
@gracegrace6200منذ 3 سنواتHAWA NDIYO WATEKAJI WA TAIFA LETU. LAZIMA TUWAKATALIE. WAACHE KUTUONYESHA MACHOZI YA MAMBA 6
@
@sheudedhusabuni3152منذ 3 سنواتKweri wahenge niwahengea 2 nape nimekukubari San mbele ya mzee wa msoga
@
@geraldmwandolela8535منذ 3 سنواتHakika mna historia nzuri kwa kupitia wazazi wetu walifanya mengi mazuri kwa Taifa ,swali ni kwenu nyie watoto wao mumeifanyi nini Taifa,hatuwezi kuishi id="hidden8" class="buttons"> kwa kurisishwa kupiti nafasi au historia ya wazazi wenu hasa January na Nape ,Mbona hatumuni Riz Kikwete ,Makongoro Nyerere tunatambua uwezo wenu ndani ya Chama na kiutendaji il mtapata teuzi kwa utendaji punguzeni mambo kama hayo . ....وسعت
@
@kingbuddah6372منذ 3 سنواتWATANZANIA HAWA WATU WALIKUWA C WATU WAZURI UKWELI AWAONGEI WANAFICHA MNAWAONA WATOTO ZAO ROHOZAO ZILIVYO WALIKUWA WAUAJI HAWA
@
@felixmathias6362منذ 3 سنواتSafi sana, Taifa likiwa hivi hata wananchi watakuwa na umoja na Raha. Kweli miaka sita tumeteseka. Wacha tupumuzike Sasa. 4
@
@gracekaboigora189منذ 3 سنواتBaba tumekuelewa ,ila kwa muda huu hakuna tumaini kama nahuye,haina jipya???ni majigambo
@
@zesootv6726منذ 3 سنواتWashamalza yao sasa n furaha tuu si mzee ambaye alikuwa anawanyima raha kashaondoka Bana sasa hivi naona mzee mweupe jino la mwanzo hadi la mwisho wao kicheko wananchi wakawaida kilio 2
@
@laurentmkolea522منذ 3 سنواتWanafiki na Wapiga Dili katika ubora wao. Watanzania Million 60 tunaburuzwa na hawa Mamba Leo wanacheka tu baada ya Kumuondoa mwenzao duniani. 15
@
@kingbuddah6372منذ 3 سنواتNYINYI WAZEE MLIKUWA WAUAJI NA NDIO MAANA UYU MZEE NAWIE ALINYONGWA KWA MABAYA ANAYOFANYA
@
@saidalsalmi9313منذ 3 سنواتSafii sana CCM imerudi kwenye mikono salama. RIP mzee Mosese Nnyue. 1
@
@kingbuddah6372منذ 3 سنواتNYINYI WOTE MLIKUWA WAUAJI MMEUA VIONGOZI WENGI KIPINDI CHENU NA WANENU WAMELISI
@
@gracegrace6200منذ 3 سنواتUkitaka kuwaona walioiteka Tanzania, utawaona hapa. Wazazi serikalini, kisha wanawasukuma watoto wawo kuingia serikalini ili familia hizo ziendelee kuiongoza id="hidden10" class="buttons"> Tanzania wanavyotaka wawo. .Tukitaka kuikombowa Tanzania lazima kamba hii ikatike ili vizazi vingine vishike madaraka. ....وسعت4
@
@mbwanarajab4756منذ 3 سنواتSafii Sana Sana.. Shikamaneni kujenga nchi yetu na kuondoa Chuki, dharau na umasikini uliokithiri baada ya watu kukimbia na kuonewa hasa awamu ya 5 ambayo haikua na manufaa kwa watanzania 5
@
@masinchagabriel1848منذ 3 سنواتJanuary hiyo nafasi uliyopo umeferi angalia sasa mpaka walioshindwa na nchi
@
@petermushi1679منذ 3 سنواتMh January hufai kuwa waziri was nishati wewe ni mlanguzi 7
@
@Bruno-ed1psمنذ 3 سنواتNape anastahili kuwa Waziri wa Sanaa na Michezo, sasa unaweka waziri wa sanaa hajui hata kuimba ??? Mama naomba muone Nape anastahili 1
@
@TheKing-fe5osمنذ 3 سنواتGenge la wahuni wanasherehekea Mbwa hawa 4
@
@mugishabindeba2752منذ 3 سنواتWaliishi kama mashetani sasa wanaishi kama wafalme
@
@gracekaboigora189منذ 3 سنواتKumbe baba hakuwa na uchu wa madaraka!!! 1
@
@purumukamango5013منذ 3 سنواتUsiwe nakasirani yakumfanyia mtu aliyemrizia,namungu mazarayake nimakubwa, isipokuwa nawewe, Kama muda umekupita, basi waombee watoto wako wabalikiwe na id="hidden12" class="buttons"> mungu maombiyako nimuhimu, kazi kukometi Mambo yaletayochuki,kwajami, usipishe Jambo baya kwa baya,wewe fanya kwawema ....وسعت2
@
@hadijamagufuli2661منذ 3 سنواتFisadi iloooo sura imemshuka kwa unafiki na ufisadi mbwa wewe 2
@
@praygodmtui1407منذ 3 سنواتTunawaomba endeleeni kudumisha amani na mshkamano tunawaomba mrudishe furaha kwa watanzania waliopita kwenye magumu wakati wa serikali ya awamu ya tano id="hidden13" class="buttons"> watu kutekwa bila kusahau uvamizi wa silaha uliokuwa unaendelea kule hai siha na Arusha na Moshi na Yule monitor wa wakuu wa wilaya bila kusahau yule aliyeagiza nape atolewe bastola ....وسعت1
Kinana.Makamba.Nape.Mzee Makamba.
Does that ring bells?
Only Membe is out 9
Shikamaneni kujenga nchi yetu na kuondoa Chuki, dharau na umasikini uliokithiri baada ya watu kukimbia na kuonewa hasa awamu ya 5 ambayo haikua na manufaa kwa watanzania 5
Mama naomba muone Nape anastahili 1